Go to full page →

Shauri Jema kwa Mtu Ambaye Huongoka Baada ya Ndoa KN 143

Mtu ambaye amefunga ndoa akiwa bado hajaongoka, kwa kuongoka kwake anajiweka chini ya wajibu mzito zaidi kuwa mwaminifu kwa mwenziwe, si neno nata kama dini zao zinahitilafiana namna gani lakini, madai ya Mungu yapasa kuwekwa juu zaidi ya uhusiano wao wo wote wa kidunia, ijapokuwa matokeo ya baadaye yawe taabu ama mateso. Kwa moyo wa upendo na upole, uaminifu huu waweza kuwa na mvuto wa kumwongoa yule asiyeamini. 1 AH 48,49,61-69. KN 143.2