Loading...
Larger font
Smaller font
Copy
Print
Contents

Tangu Sasa Hata Milele

 - Contents
  • Results
  • Related
  • Featured
No results found for: "".
  • Weighted Relevancy
  • Content Sequence
  • Relevancy
  • Earliest First
  • Latest First
    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents

    Shuguli ya Kwanza na ya Juu Sana

    Haitoshi kuwa na makusudi mema, kufanya kitu mtu anachofikiri kuwa cha haki ao kite muhuduma anachowaambia kuwa cha haki. Anapashwa kuchunguza maandiko kwa ajili yake mwenyewe. Anakuwa na amani inayoonyesha kila alama ya njia ya safari ya kwenda mbinguni, na hapashwe kuamini kitu cho chote.TSHM 292.3

    Ni wajibu wa kwanza na ya juu sana kwa kila kiumbe chenye akili kujifunza kwa Maandiko mambo inayokuwa ya kweli, ndipo kutembea katika nuru na kutia wengine moyo kufuata mfano wake. Inatupasa kutengeneza nia zetu sisi wenyewe kwa namna tutakavyojibu sisi wenyewe mbele ya Mungu.TSHM 292.4

    Watu waliojifunza, kwa ujanja wa hekima kubwa, wanafundisha ya kama Maandiko yanakuwa na siri, maana ya kiroho si ya kutambulikana katika lugha iliyotumiwa. Watu hawa ni waalimu wa uwongo. Lugha ya Biblia inapashwa kuelezwa kufuata maana yake zahiri, ila tu kama mfano ao picha inatumiwa. Kama watu wangekamata tu Biblia kama inavyosomwa, kazi ingetimizwa ambayo ingeleta maelfu katika zizi la Kristo maelfu juu ya maelfu wanaotangatanga katika makosa. Sehemu nyingi za Maandiko ambazo wenye hekima wanazozania kutokuwa za maana zinajaa na faraja kwa yeye anayefundishwa katika shule la Kristo. Ufahamu wa ukweli wa Biblia hauko zaidi kwa uwezo akili ilioletwa kwa uchunguzi kama kwa umoja wa kusudi, tamaa ya juhudi baada ya haki.TSHM 292.5

    Larger font
    Smaller font
    Copy
    Print
    Contents